Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Said Othman Yakubu amekutana na Rais wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Kisiwa cha Anjouan na ujumbe wake na kuwahimiza kuzidisha uagizaji wa bidhaa toka Tanzania kwa kuzingatia ukaribu wa kijiografia na uhusiano wa kihistoria uliopo.
Balozi Yakubu ambaye...
Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Said Othman Yakubu amefanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Afrika Kusini nchini Comoro Bi. Nichola Sabelo alipotembelea Ofisi za Ubalozi, Moroni tarehe 03 Julai, 2024.
Tanzania na Afrika Kusini ni nchi marafiki wenye historia ya muda mrefu tangu katika zama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.