balozi said othman

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Balozi Yakubu achagiza Wafanyabishara wa Anjouan kuagiza bidhaa Tanzania

    Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Said Othman Yakubu amekutana na Rais wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Kisiwa cha Anjouan na ujumbe wake na kuwahimiza kuzidisha uagizaji wa bidhaa toka Tanzania kwa kuzingatia ukaribu wa kijiografia na uhusiano wa kihistoria uliopo. Balozi Yakubu ambaye...
  2. Comoro: Balozi Said Othman Yakubu amefanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Afrika Kusini

    Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Said Othman Yakubu amefanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Afrika Kusini nchini Comoro Bi. Nichola Sabelo alipotembelea Ofisi za Ubalozi, Moroni tarehe 03 Julai, 2024. Tanzania na Afrika Kusini ni nchi marafiki wenye historia ya muda mrefu tangu katika zama...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…