SALEH RAJAB TAMBWE, JOB LUSINDE NA SAMWEL SITTA
Nimesikitishwa na taarifa ya kifo cha Balozi Saleh Tambwe ambae tukifahamiana kwa miaka mingi na yeye akimjua babu yangu katika kundi la wazee wa Kimanyema waliopigania uhuru wa Tanganyka kutokea Tabora, Western Province.
Katika kundi hili...