Balozi wa Marekani nchini Kenya, Meg Whitman, ameonesha wasiwasi wake kuhusu ripoti iliyotoka hivi karibuni ambayo inaonesha kuwa polisi wa Kenya wanatumia taarifa za watumiaji wa simu ili kuweza kukamata wahalifu.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa ziara yake katika Kaunti ya Trans...