Mkuu wa majeshi wa uganda Gen Muhoozi Kainerugaba ametangaza kuwa kama taifa wana mgogoro na balozi wa Marekani William Depp na watachukua hatua asipo omba msamaha.
Hapa bongo kuna yule Balozi Battle kila siku kelele ni zamu ya Gen Nkunda kumuibukia bila kupepesa macho
USSR
Fellow Ugandans...