Wakuu habari
Aliwahi kulima kilimo Cha bamia , naomba uzoefu
1. Mbegu nzuri yenye kukua Kwa haraka
2. Mbolea gani nzuri na dawa za kuulia wadudu
3. Upande wa sokoni
4.Kwa heka moja naweza kupata kiasi gani
Hapa, teyari Nina pump ya kumwagilia, shamba lipo , na maji Yana flow through...