FAMILIA YA ZORRO MIONGONI MWA FAMILIA ZILIZOTUNYIMA KOLABO KALI.
Sikumbuki ni nani alikuja na wazo la kutengeneza albamu iliyoitwa BABA NA MWANA! Ilikuwa ya moto sana na ilikuwa na ladha TOFAUTI.
Nakumbuka Francis Nguza na Nguza Viking almaarufu Papii Kocha na Babu Seya waliurudia wimbo wa...