Kumekuwepo na nadharia inayoaminika sana Mtaani kuwa mtu asiye na Bandama hawezi kucheka.
Binafsi kwanza sielewi bandama ni nini na linahusikaje na kucheka kwa binadamu.
Naomba kufahamu undani na ukweli wa jambo hili maana nimekuwa nasikia likiongelewa sana miaka nenda rudi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.