bandama na kucheka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Heparin

    SI KWELI Watu wasio na Bandama hawawezi Kucheka

    Kumekuwepo na nadharia inayoaminika sana Mtaani kuwa mtu asiye na Bandama hawezi kucheka. Binafsi kwanza sielewi bandama ni nini na linahusikaje na kucheka kwa binadamu. Naomba kufahamu undani na ukweli wa jambo hili maana nimekuwa nasikia likiongelewa sana miaka nenda rudi.
Back
Top Bottom