bandama na kucheka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SI KWELI Watu wasio na Bandama hawawezi Kucheka

    Kumekuwepo na nadharia inayoaminika sana Mtaani kuwa mtu asiye na Bandama hawezi kucheka. Binafsi kwanza sielewi bandama ni nini na linahusikaje na kucheka kwa binadamu. Naomba kufahamu undani na ukweli wa jambo hili maana nimekuwa nasikia likiongelewa sana miaka nenda rudi.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…