Kumekuwepo na nadharia inayoaminika sana Mtaani kuwa mtu asiye na Bandama hawezi kucheka.
Binafsi kwanza sielewi bandama ni nini na linahusikaje na kucheka kwa binadamu.
Naomba kufahamu undani na ukweli wa jambo hili maana nimekuwa nasikia likiongelewa sana miaka nenda rudi.