Ilani ya chama cha Mapinduzi inatekelezwa.
---
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Bandari ya Uvuvi ya Kilwa Masoko ambao mpaka sasa umefikia asilimia 63 na unatarajiwa kukamilika mwezi Februari mwaka 2025.
Waziri Ulega amesema hayo leo...