"Kwa sasa meli nyigi za mizigo zinakataa kuja Zanzibar kutokana na usumbufu huo huku kukiwa na mamia ya makontena Zanzibar yaliyorundikana katiba bandari ya Mombasa nchini Kenya kwa ziadi ya mwezi mmoja yakisubiri meli ndogo kuyaleta Zanzibar" - Ismail Jussa, Makamu Mwenyekiti wa ACT- Wazalende...
Ismail Jussa, makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar aneleza kuwa licha ya kuwepo kwa muwekezaji katika bandari ya Malindi lakini bado kuna changamoto katika kushusha mizizgo ambapo meli zinaweza kusubiri hadi wiki mbili ili kupata nafasi ya kushusha mizigo. Amesema jambo hilo lina athari...
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa ameeleza kuwa licha ya kuwa Serikali ya Zanzibar ilitoa kila kitu kwa muwekezaji na muwekezaji hakuja na chochote kile lakini serikali inapata 30% tu ya faida.
"Waliopo bandarini wanasema muwekezaji huyu hakuleta hata kalamu na...
ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT WAZALENDO)
OFISI YA KATIBU MKUU
(Party’sSecretaryGeneralOffice)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Chama Cha ACT Wazalendo kimepokea kwa uzito wake malalamiko ya Watumiaji wa Bandari ya Malindi Zanzibar kuhusu kupanda kwa gharama za utoaji mizigo mara tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.