bando za simu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Eli Cohen

    Nimemuambia gen-z mmoja kuwa tulikuwaga tunaweka vocha hakuna huduma ya kujiunga dakika nyingi kwa hio unaongea fasta fasta salio lisikate eti aamini

    Eti anasema "hio ilikuwa miaka ya 80 nini ??🤣🤣🤣🤣🤣" Millenials mmeanza kuwa makumbusho ya taifa sasa
Back
Top Bottom