Salama wananzengo,
Kwa sisi wakazi wa Segerea kata ya Bonyokwa kunapitia adha kubwa sana ya miundombinu ya barabara inayoelekea Kanisa Katoliki na kwa mbunge wetu Bonnah Kamoli.
Hii barabara ni mbaya kuanzia Bonyokwa Stand mpaka geti la Kanisa katoliki, kwa wenye magari ya chini wanapata tabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.