barabara dar -moro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Barabara ya Moro - Dodoma yafunguliwa Baada ya kufungwa kwa saa mbili na Wananchi wa mkundi akipinga ajali za mara kwa mara

    Barabara Kuu ya Morogoro-Dodoma ambayo mapema leo Septemba 5, 2024 ilifungwa na wananchi wa Mtaa wa Mkundi Sheli, Kata ya Mkundi, Manispaa ya Morogoro, kwa takriban saa mbili wakipinga ajali za mara kwa mara zinazotokea katika eneo hilo imefunguliwa. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro...
  2. M

    Rais Samia jenga barabara ya Kibaha - Chalinze, historia itakukumbuka daima

    Rais Samia umekuwa Rais wa mfano kwa kukamilisha miradi ya aliyekuwa mtangulizi wako bila ya kupiga makelele. Hakika unastahili pongezi toka kwa mtanzania yeyote mwenye kuweza kufikiri kisawasawa. Kwa kuwa tayari umeshaingia kwenye historia ya nchi kwa kuweza kusimamia miradi mikubwa na kwa...
Back
Top Bottom