Barabara Kuu ya Morogoro-Dodoma ambayo mapema leo Septemba 5, 2024 ilifungwa na wananchi wa Mtaa wa Mkundi Sheli, Kata ya Mkundi, Manispaa ya Morogoro, kwa takriban saa mbili wakipinga ajali za mara kwa mara zinazotokea katika eneo hilo imefunguliwa.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro...
Rais Samia umekuwa Rais wa mfano kwa kukamilisha miradi ya aliyekuwa mtangulizi wako bila ya kupiga makelele. Hakika unastahili pongezi toka kwa mtanzania yeyote mwenye kuweza kufikiri kisawasawa.
Kwa kuwa tayari umeshaingia kwenye historia ya nchi kwa kuweza kusimamia miradi mikubwa na kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.