barabara kigamboni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    KERO Dar: Barabara Kisarawe II Wilaya ya Kigamboni haijafanyiwa matengenezo tangu mvua za Mwaka 2024

    Ni toka mvua za mwaka jana 2024 mpaka leo barabara za Kichangani kuanzia Shule, Kisimani hadi Msikiti wa Mzee Nandule, kote huko njia hazipo ni kama vile Serikali imesahau kuwa kuna watu wanaishi huko. Mbali ya kuwa Wananchi wamejichanga na kutafuta vifusi ila mkandarasi wa Barabara ya Kibada -...
  2. J

    DOKEZO Barabara Kigamboni ni changamoto

    Wahusika. Hakuna asiyependa maendeleo, lakini kinachofanyika kwenye barabara hii kutoka mzunguko wa kwenda feri hadi Daraja la Mwalimu Nyerere ni kero. Kama hakukuwa na fedha za kutosha, isingekuwa lazima kufumua kipande hiki kifupi cha barabara. Matokeo yake ni kero kwa watumiaji: magari...
  3. J

    KERO Barabara za Kigamboni ni kero

    Wahusika kama ilikuwa muda bado wa kujenga mliona haja gani kukwangua barabara na kuicha hivo wiki ya 4 sasa. Mnatupa kero sana na vumbi na foleni isiyo na sababu. Kipande hiki tokea mzunguko wa kutokea darajani kama unaenda Vijibweni au Kisiwani kuna kipande maarufu kwa steve ni kero sana na...
Back
Top Bottom