Salaam Wakuu,
Kwanza kabisa niwashukuru JamiiForums kwa kupaza sauti yetu ya ubovu wa barabara uliokuwepo kuanzia kipande cha Kwa Mpalange mpaka Mwanagati.
Barabara hii ilikuwa mbaya kupitiliza, ilikuwa ni ngumu sana kwa daladala kufanya kazi bila kuharibikiwa vyombo vyao mpaka walilazimika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.