barabara ya nanenane-tungi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO TANESCO wanachelewesha ujenzi wa barabara ya Nanenane-Tungi Morogoro kwa kushindwa kuondoa nguzo za umeme

    TANESCO hatuwaoni wakija kuondoa hizi nguzo na kuziweka pembeni kupisha UJENZI wa barabara wamekaa kimya na hamna wakusema waje kutoa hata viongozi wenyewe hawaongei chochote. Nini kinafanya wachelewe kuja kuzitoa hizi nguzo?
Back
Top Bottom