barabara za brt

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. 6 Pack

    Waziri Ulega hebu acha mikwara, mimi niliwashauri mapema ila wizara yako ikanipuuza

    Niaje waungwana Mheshimiwa waziri Abdallah Ulega juzi kati alituacha na mshangao mkubwa watanzania, kwa kujifanya anawapiga mkwara mzito wachina wanaojenga barabara zetu za mabasi ya BRT. Kwa mtu ambae ndio kwanza anafuatilia mambo hayo ya ujenzi wa barabara za BRT, anaweza kumuona waziri...
  2. ChoiceVariable

    Je, ni kweli Africa inahitaji Miradi kama hii ya BRT ya Umeme kama huu wa Senegal?

    Nimeona Senegal wanazindua mradi wa Barabara za BRT ambazo zinatumia Umeme. Yaani kama hiyo BRT ya Dar ila iwe ni mfumo wa kuchaji/Umeme badala ya diesel. Kwangu binafsi naona hii ni miradi ya kipigaji na isiyosaidia watu maskini kuongeza kipato Chao badala yake ni upigaji wa wakubwa. Miradi...
Back
Top Bottom