Kuelekea Ujenzi wa barabara za kulipia Tanzania (toll road) David Kafulila, Mkurungezi Mtendaji PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa sio lazima mtu apite kwenye barabara ya kulipia kwani kila barabara ya kulipia itakuwa na barabara mbadala isiyo ya kulipia hii inampa mtumiaji uhuru wa kuchagua...
Tukiachana na ya Simba asiyetulia wa kule Kizimkazi...
Tukiachana na "assist" 4 na goli 1 la mwamba Clatous Chota Chama,mh.David Kafulila amekuja na wazo kuntu haswa....
TOLL ROADS(barabara za kulipia).
Wenzetu wa Afrika kusini wameanza kuzitumia 1983 ,leo hii mh.Kafulila kamishna wa mipango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.