barbara gonzalenz

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Madam Barbara ni CEO sahihi ndani ya timu yetu pendwa Simba

    Ni wazi mwanadada huyu anapitia kipindi kigumu na si ajabu hakujua ugumu wa kazi kabla ya kukubali kufanya ya kondoo katikati ya kundi la mbwa mwitu. Pengine angejua tabia na desturi za watu wa nchi hii wanaojiita watu wa mpira asingekubali kuajiriwa kufanya kazi anayoifanya. Naamini yeye...
  2. Efendi

    Baada ya CEO wa Simba SC, Barbara Gonzalez kuzuiwa kuingia uwanjani, Simba huenda ikaanza ujenzi wa uwanja wake

    Habari Wanajamvi baada ya kupita siku moja toka ile Derby ya kukata na shoka ya watani wa jadi ambayo ilikuwa na kashkash ya hapa na pale na likishuhudiwa tukio la Madame CEO Babra Gonzalenz kuzuiwa kuingia VVIP leo kiongozi wa Simba crescentius Magori ambaye ni mshauri wa Rais ameandika haya...
  3. busha

    CEO wa Simba Sports Club Barbara Gonzalenz ni kiongozi wa aina gani

    Wakuu huyu dada C.E.O wa Simba sports club ni fullbright ni mwanamke wa shoka mwenye kujiamini na uelewa mkubwa sana wa mambo. Ukifatilia huu mzozo uliopo sasa wa Simba kuvaa nembo za GSM utaona jinsi anavyosimama kwenye hoja na vipengeke vya kisheria kwa utulivu mkubwa bila mihemko, lakini pia...
Back
Top Bottom