Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow akiongea katika mkutano na waandishi wa habari ,viongozi wa serikali na wadau mbalimbali uliofanyika katika mgodi wa bulyanhulu jana,(Kushoto) ni Naibu Waziri wa Madini, Dk.Steven Kiruswa na (kulia) ni Meneja wa Barrick nchini,Melkiory Ngido...
Wanafunzi wa shule ya sekondari mkoani Lindi na Mtwara wakisoma katika miundo mbinu iliyojengwa kupitia programu hii.
Awamu ya kwanza imefanikisha ujenzi wa vyumba vya madarasa vya kisasa 374, mabweni 89 na mashimo ya vyoo 569 nchini kote.
Mradi mkubwa wa aina yake wa kusongesha mustakabali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.