Mpendwa Katibu Mkuu wa CCM, Dr. Emmanuel Nchimbi,
Natumaini uko salama na unaendelea vyema na majukumu yako.
Katika barua hii, ningependa kukuletea masuala muhimu yanayoathiri utendaji kazi wa makatibu wa CCM ngazi ya wilaya.
Ni wazi kwamba hali ya sasa inahitaji mabadiliko ili kuboresha...