Wanabodi,
Hii ngoma mpya ya Whozu na Zuchu mmeisikia lakini? Kama una mwanao pembeni hakikisha unamvalisha headphone everytime wimbo huu ukiwa unapigwa huko mtaani.
Lugha iliyotumika ni kali mno hasa kipande anachoimba Zuchu.
Sijajua walikuwa wanalenga lakini kwa kuwa hawa ni wasanii wa CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.