bashe kupambana na mpina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. figganigga

    Mwanza: Luhaga Mpina na Hussein Bashe uso kwa uso kwenye mkutano wa hadhara

    MWANZA; Waziri wa Kilimo Hussein Bashe, amekutana na Mbunge wa Jimbo la Kisesa, wilayani Meatu Mkoa wa Simiyu, Luhaga Mpina kwenye mkutano unaoendelea katika Mji wa Mwandoya Jimbo la Kisesa. Juzi akiwa wilayani Igunga mkoani Tabora, Waziri Bashe, alisema atafanya ziara katika Jimbo la Mbunge...
  2. Hardbody

    Sakata la Mpina na Waziri Bashe, nilivyoelewa kwa Lugha Rahisi

    Hili sakata wakati nasoma uzi humu kwa mara ya kwanza nilikuwa sijalielewa lilivyo. Nikasema acha nizame U-tube kujua likovipi ndio nikapata kuelewa mwanzo, kati na mwisho ulivyo hebu twende pamoja kwa ambaye hajaelewa kama mimi kwa Lugha nyepesi Iko hivi waziri wa kilimo wakati anawasilisha...
  3. S

    Wananchi tunamsaidiaje Mpina?

    Bila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina. Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo: "NASIMAMA NA MPINA", Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za...
  4. Wimbo

    Kwa suala la Mpina; Spika Tulia unastahili nafasi ya juu zaidi ya hiyo unayotumikia

    katika wasilisho lako la leo Mh. Spika ulikuwa na nafasi ya kumuadabisha Mpina moja kwa moja lakini kwa kuzingatia utawala bora bado umeruhusu kamati zipitie hoja zake, na hoja ya utovu wa nidhamu wake ili utende haki. wengine wangedhani unajivua kuonekana mbaya, lakini huo ndio uongozi wa...
  5. A

    Bashe yupo ukingoni, hakupaswa kupambana na wadau wa sukari

    Bashe ambaye ni Mbunge wa Nzega mjini na Waziri wa Kilimo wa Serikali ya Rais Samia dalili zi wazi anaelekea kukwama. Kwa wajuzi wa mambo ya siasa watakubaliana na mimi kwenye hilo. Waziri Bashe hakupaswa kupambana na wadau wa sukari kwa aina ile ya kiburi na majivuno! Kwa kuanzia alipaswa...
Back
Top Bottom