Habari Tanzania !
Napenda kutoa wazo kwa Serikali kuhusu kuzilinda afya za abiria wa masafa marefu ikiwapendaza iwekwe amri kwa kuyataka Mabasi yote yanayofanya safari za masafa marefu yawe na mtaalamu aidha 1 au 2 kwa kila gari kwa ajili ya huduma ndogo ya afya.
Hii itachochea kulindwa kwa...