Habari Wakuu,
Katika Jukwaa letu la Lugha nimeweka huu uzi tusaidiane kwenye kujulishana maneno ya Kiingera ya kutumia ili walau mtu unapoandika Kiingereza usionekana kama upo kawaida sawa. Naanza na haya maneno machache;
Advanced English = Basic English
Alleviate = Ease
Ameliorate = Improve...