basirou diomaye

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ChoiceVariable

    Rais Faye wa Senegal aanza visingizio baada ya kushindwa kutimiza ahadi alizotoa baada ya kuapa kuwa Rais. Awashutumu wapinzani kumkwamisha Bungeni

    Miezi 6 baada ya Rais wa Senegal Basirou Diomaye wa Senegal na Waziri wake Mkuu Ousmane Sonko wameanza kuleta visingizio Kwa Kushindwa Kutimiza Baadhi ya ahadi zao walizodai watazitatua ndani ya siku 100. Serikali ya bwana Faye inasingia Bunge Kumkwamisha ambalo lina Wabunge wengi wa...
Back
Top Bottom