Hello bosses and roses.
Huyu kijana anachezea Memphis ni hatari, aina yake ya mchezo ni ngumu sana kuiona kwa wachezaji wengine sasa na miaka kadhaa iliopita. Na bado ni kijana mbichi, 23 years.
Jamaa anafanya anachotaka uwanjani, uwezo wake wa kuruka juu ni mkubwa sana.
Last week kwenye...