Bassirou Diomaye Diakhar Faye (born 25 March 1980), commonly known mononymously as Diomaye, is a Senegalese politician and former tax inspector who has been serving as the 5th and current President of Senegal since 2024. He is the general secretary of the banned party PASTEF, who won the 2024 Senegalese presidential election in place of disqualified candidate Ousmane Sonko, whom he later appointed as Prime Minister of Senegal.
Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amesema kuwa Ufaransa inapaswa kufunga kambi zake za kijeshi nchini humo, wakati taifa hilo linajiandaa kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 80 ya mauaji ya kikatili yaliyofanywa wakati wa ukoloni.
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amekiri kuwa vikosi vya...
Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameitaka Ulaya kusaidia kukabiliana na tishio la usalama linaloongezeka huko Sahel, eneo tete ambalo limekabiliwa na mfululizo wa mashambulizi mabaya katika siku chache zilizopita.
Ametoa wito huo wakati wa mkutano na waandishi wa habari akiwa na Waziri...
Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye amewataka Watumishi wa Umma kuacha kuweka picha yake kwenye ofisi zao akisema kuwa yeye sio Mungu anayetaka kusujudiwa badala yake amewataka watumishi hao kuweka picha za watoto wao maofisini mwao ili wawe wanazitazama pale wanapofanya maamuzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.