bata bukini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. nyemenowa tindamanyile

    Ufugaji bata bukini na kanga

    Naanza ujasiliamali kwa kutakq kufuga hao KANGA, BATA BUKINI kwa ajili ya kitoeo na kuuza. Naomba kufahamishwa miiko na mengineyovkuh viumbe hao
  2. AdanaVural

    Bata Bukini na Bata Mzinga wanauzwa

    Habarini wanajamvi, poleni na majukumu ya kujitafutia ridhki. Ninao bata Bukini wanaotarajia kutaga pair 2, yaani majike 2 na madume 2, na Bata mzinga 3 majike 2 na dume 1. Bata wote hawa nawauza kwasababu za kuhama eneo hivyo ni vigumu kuwabeba ndio maana nalazimika kuwauza haraka. Kwa mwenye...
  3. Gily Gru

    Nauza Bata Bukini wenye miezi 8 wakiwa wamepatiwa chanjo zote

    Nauza bata maji wako 8 kwa bei ya laki moja ya kitanzania (Tsh 100,000/-). Bata wana miezi mitano, mmoja ana miezi nane hivi. . Bei nauza kama bure haipungui hata senti moja.
  4. Rion Jr

    Nauza vifaranga vya bata bukini

    Nauz vifaranga vya bata aina mbali mbali Kama vile bata Bukini, jumbo perkin, ruen, Indian runner . Na pia nauza bata wa Kienyeji ( Muscovy) Napatikana CHANIKA KWA SINGA Call 0783 29 11 07
  5. Mlolongo

    SOLD: Nauza Bata Bukini wakubwa. Nipo Makongo Juu

    Aim: Nauza Bata Specie: Bukini Serbié wakubwa idadi: Wawili (dume na jike) Price: Dume (TZS 330,000) na Jike (TZS 300,000) Combined Price: Ukichukua wote nakuuzia kwa 600,000/=. Location: Makongo Juu, DAR. Mawasiliano: 0718 102033 Nota bene: Huyu Jike anataga, as of today anaatamia mayai kumi...
  6. iryn

    Bata bukini

    Nauza bata bukini. Wapo wakubwa wanaotaga tayari. Ni kitoweo kizuri mno. Napatikana kigamboni Dsm, bei nzuri tu jamani 150000 mazungumzo yapo msiogope. Karibuni ndugu zangu tusapotiane
  7. BABA SANIAH

    Naomba kufahamishwa zaidi kuhusu bata bukini

    Habari za leo, Ntaomba kufahamishwa kuhusu Hawa Bata,nataka kuwafuga kwa kweli. Huwa naaikia wanataga mayai mawili tu kwa mwaka. Kama Kuna taarifa nyingine au kuna mtu anawafuga, mwenye uzoefu nao anifahamiahe zaidi.
Back
Top Bottom