i salute you kinsmen kwa jina la gusa achia twende kwao
nimechunguza sana kauli ya bwana chasambi kuwa ndani ya team yake hakuna role model wake ila yanga wapo anaowakubali akiwemo max mpia
sasa simbilisi mnamchukia kijana kwanini?
kiukweli chasambi aliwastahi tu sio kwamba uongo, kimsingi...