bavicha chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Dodoma: CHADEMA wanakaa vikao vya siri. Tuwe makini nao, hawa watu sio salama kwa nchi yetu!

    Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dodoma umewataka Wananchi wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kuwaogopa Viongozi wanatokana na vyama vya upinzani akiwemo Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa kwa kuwa watu hao siyo salama na wasioitakia mema nchi ya Tanzania. Kauli hiyo...
  2. Mindyou

    Pre GE2025 Mwenyekiti BAVICHA Mbeya: CHADEMA inahitaji kiongozi wa maamuzi magumu kama Lissu

    Mwenyekiti wa Baraza la vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Jimbo la Mbeya Mjini, Hassan Mwamwembe, amesema anatamani Tundu Lissu aibuke kidedea kwenye kinyang'anyiro cha uenyekiti wa CHADEMA Taifa ili kuleta mabadiliko kwenye chama hicho .Mwamwembe amesema hayo wakati akitoa maoni yake kufuatia...
Back
Top Bottom