Mwenyekiti wa Baraza la vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Jimbo la Mbeya Mjini, Hassan Mwamwembe, amesema anatamani Tundu Lissu aibuke kidedea kwenye kinyang'anyiro cha uenyekiti wa CHADEMA Taifa ili kuleta mabadiliko kwenye chama hicho
.Mwamwembe amesema hayo wakati akitoa maoni yake kufuatia...