Wakuu leo mapema nimekutana na hii barua nimepata mashaka kama imetolewa kweli na BAVICHA tafadhali naomba msaada wa kujua uhalisia wa barua hiyo kwa umma.
Vijana hao wamevamiwa na Jeshi hilo walipokuwa wanajiandaa kuelekea Mbeya kwenye Maadhimisho ya siku ya Kidunia ya Vijana.
Taarifa zaidi zitawajieni hapa hapa Jf, Usiondoke.