Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema BAWACHA, Sharifa Suleiman, amesema kuwa tarehe 8 Machi baraza hilo linatarajia kudhimisha siku ya wanawake Dar es Salaam.
Hayo ameyasema leo tarehe 23 Februari 2024, wakati anazungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.ambapo amesema kuwa...