Mchakato wa handshake (maridhiano ya kisiasa nchini Kenya) yalikutanisha makundi hasimu ya kisiasa kati ya Rais Uhuru Kenyatta kwa upande wa Jubilee na mpinzani Raila Odinga.
Binafsi mwanzoni nilitazama kama mbinu ya kisiasa ya kuua upinzani Kenya, kwamba Ruto na Kenyatta walitengeza mgogoro...
Kenya Courts have done us justice. I was feeling disgusted by this process. I know it meant well for6the country but trying to sneak it without our input was much disrespect By uhuru.
Kudos to the 5 bench judges for the courage to call out the president.
Long live Independent judiciary for...
Nionavyo mimi tatizo kubwa la Kenya ni ukabila. Lengo kuu la BBI Bill ni kupunguza ukabila Kenya kwa kumfanya Rais wa nchi asiwe lazima awe Mkikuyu au aungwe mkono na wakikuyu. BBI inaelekea huko.
Si ajabu mwaka 2022 kwa mara ya kwanza mjaluo akawa rais wa kenya.
Hii ni sehemu tu ya reporti ya Building Bridge Intiative (BBI) iliyokabidhiwa kwa Raisi Uhuru Kenyatta katika kipengele cha jinsi ya kumaliza ukabila nchini Kenya
Mimi nawashauri kuwa wapige marufuku matumizi ya lugha za kikabila kwenye public places kama ofisi za serikali,mikutano ya...
Violence broke out when the results of the October 2017 election were announced
In our series of letters from African writers, journalist Waihiga Mwaura asks whether Kenya's divides can ever be bridged.
Twenty-one months ago, Kenya's opposition leader Raila Odinga and his bitter rival...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.