bei chee

Bei Dao (simplified Chinese: 北岛; traditional Chinese: 北島; pinyin: Běi Dǎo; lit. 'Northern Island', born August 2, 1949) is the pen name of the Chinese-American writer Zhao Zhenkai (S: 赵振开, T: 趙振開, P: Zhào Zhènkāi). Among the most acclaimed Chinese-language poets of his generation, he is often regarded as a candidate for the Nobel Prize in Literature. In addition to poetry, he is the author of short fiction, essays, and a memoir. Known as a dissident, he is a prominent representative of a school of poetry known variously in the West as "Misty" or "Obscure" Poetry.
Born in Beijing before the establishment of the People's Republic of China, Bei Dao served as a member of the Red Guards in his youth. However, disillusioned by the Cultural Revolution, he participated in the 1976 Tiananmen Incident and co-founded an influential literary journal, called Jintian (Today), that came to be officially banned in China. After his poetry and activism were an inspiration to the 1989 Tiananmen Square protests, Bei Dao was banned from China and entered a period of exile in the West, living and teaching in numerous countries before settling in the United States. He has been allowed to return to mainland China since 2006, but has not done so except for brief visits. In 2007, he joined the faculty of the Chinese University of Hong Kong. In 2009, he became an American citizen.
Bei Dao has been described as having played a significant role in creating a new form of poetry in Chinese literature, one that is often viewed as a reaction to the artistic strictures of the Mao era. In particular, his poetry is known for linguistic experimentation and an embrace of complexity, even paradox, in its exploration of individuality.
Currently, Bei Dao resides in Hong Kong, where he is an Honorary Professor of Humanities at the Chinese University of Hong Kong.

View More On Wikipedia.org
  1. KING MIDAS

    Jipatie photocopy machine kwa bei chee, njoo na bei yako tumalizane.

    Njoo na bei yako tuyajenge. Call:- +255712302556 +255684240927 Hii fursa ni ya leo tu, simu na zianze kuita kwa ajili ya ukaguzi wa bidhaa na MANUNUZI.
  2. Baba Atifah

    Monitor za bei nafuu 27 inch fremless

    Frameless new monitor Kali mnooo 27 inch Monitor code 27 B30H Refresh rate 100hz Aisee HD yake nibaraa Aya wateja wangu ambao wanakiasi kidogo ila anataka monitor Kali hiii apa chap chap wahi Price 580,000/= Mzigo natuma popote pale ulipo Instagram @mysetup_tz Call or WhatsApp 0692562259
  3. Zero Competition

    INAUZWA Nauza king'amuzi cha Startimes kwa bei nafuu

    Nauza king'amuzi cha Startimes kwa Tshs 20,000 tu. Kipo na Adapter yake ya umeme pamoja na remote controller yake. Kimetumika miezi mitano peke yake Nipo Mbezi Luis karibu na Stand ya mabasi ya mkoani ya Magufuli Karibu upate kilicho bora Mawasiliano: 0767696021
  4. A

    Njoo nikuuzie jiko complete bei chee

    Kwa wakazi wa Dar.... Jiko la gesi plate mbili (Hotpoint), mtungi wa kg30 na pipe yake pamoja na meza yake vyote nahitaji 100000...mzigo upo tegeta piga 0783350399 kama unahitaji...
  5. TUKANA UONE

    Nataka nijenge hostel kwa ajili ya wanafunzi wa chuo wakae bure miaka 2 ya masomo yao, mwaka 3 watalipia bei chee!

    Wa- mbulu na Wa -iraki wote ni ndugu! Wakuu naomba mniombee sana Mungu anipatie uhai hadi mwakani! Ndoto yangu ni kuwasaidia Watanzania (Hasa Vijana wenzangu) na Taifa Kwa Ujumla.Nimekaa nikiangalia namna Vijana wadogo waliopangiwa Kusoma vyuo hapa Dar es salaam namna wanavyopata taabu kupata...
  6. A

    Pamoja na kushusha bei wananipita wanaenda kwingine, najiuliza nakosea wapi?

    Wakuu tangu nifungue biashara yangu ni wiki Sasa. Mazingira na miundombinu ya hapo ninapofanyia biashara yapo vizuri ila cha ajabu siuzi vile inavyotakiwa. Yaani mtu anakuja anauliza kidali Tsh ngapi unamwambia bei anakigeuza geuza wee anakitathmini halafu anasema anarudi ndo imeisha hiyo...
  7. Ambition plus

    Njoo ununue pikipiki kwa bei chee

    chombo hio hapo inataka 1.5M chap,ni kuwasha na kuondoka
  8. D

    DOKEZO NHIF wanataka kutuua na dawa za bei chee

    Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wa Tanzania hivi karibuni umefanya marekebisho katika kifurushi chake kinachohusisha pia dawa, yakiwemo madawa ya antibiotic, ambapo imepunguza sana bei. Anaye command soko la dawa Tanzania ni NHIF. Na sasa hii ni RASMI kwamba soko la dawa litatawaliwa na...
  9. N'yadikwa

    Vifaa vya muziki bei nafuu. Gitaa, Effect, Combo na Waya 1 million tu

    Wale wanamuziki hasa wanaojua solo guitar vifaa hivi naviuza vyote kwa pamoja one milioni tu. 1. Gitaa la Solo 2. Solo/Rythim gitaa Combo 3. Solo Gitaa Effect Pedal 4. Cable za Jack pins 3 original na jack pin ndogo 1 5. HDMI mpya. Kwa anaevihitaji tuwasiliane vipo Dar es Salaam Bunju na viko...
  10. N

    INAUZWA Nauza mrUk Subwoofer kubwa bei chee Tshs 110,000

    Nauza Subwoofer aina ya mrUk UK21T23 kwa bei ya Tshs 110,000 Nimeitumia kwa muda wa miezi 3 tu bado ina upya wake na boksi lake pia bado lipo Haina tatizo la aina yoyote na haijawahi kwenda kwa fundi ila naiuza ili nitatue changamoto zangu Ukiiona ndo utaamini ninachoeleza hapa Karibu...
  11. Uwesutanzania

    Kwa Dar wapi kuna Chimbo la magari kali kwa bei chee

    Life kama linaanza kuwa sawa kwa upande wangu. Hivyo nahitaji niwe na kagari kamoja hivi ka kwenda nako harusini. Je kwa Dar wapi naweza pata gari kali kwa bei Chee. Budget yangu ni kama 5mil mpaka 7mil. Nb* USED pia sitaki iSt
  12. M

    INAUZWA Fridge aina ya Mr UK inauzwa Arusha

    Fridge aina ya Mr UK linauzwa hapa Arusha, bei chee, lina warranty ya miaka miwili Kwa mawasilino zaid 0786 998 436
  13. Candela

    Arduino uno bei chee

    Arduino uno zipo mbili zimebaki bei sawa na bure, njoo inbox kwa wateja serious. 28,000. Free delivery au unaweza kufata mwenyewe.
  14. G

    Mimi na wewe huenda tumeshakula sana Vibudu tukifikiri ni Kuku, Tuongeze umakini katika kuchagua na Kununua Kuku

    Inasikitisha sana, hapo zamani ilizoeleka vibudu vya kuku vilikuwa kwajili ya kulishia nguruwe ila sikuhizi mimi na / au wewe huenda tumelishwa sana tukidhani ni kuku tena tukijisifu ni bei rafiki kwa mtanzania. Ngoja niwasanue wananchi wenzangu Kwa case study tutachukuloa eneo la Bagamoyo...
  15. Mshemwaf

    Plot4Sale Eneo zuri sana airport Karakata lipo barabarani linauzwa bei chee changamkia nicheki nikupeleke

    Eneo Lina nyumba mbili ya mbele ina fremu 5 na vyumba 6 vya wapangaji. Na nyumba ya nyuma ni yakuishi ina vyumba 2 sebure, dinning na valanda. N.B Unaweza ivunja na kujenga shell, hotel, dispensary n.k, au vyovyote utakavyo Eneo ni kubwa Zaidi ya sq meters 430+. Mahali: Airport Dar es salaam...
  16. Mulimila dole

    INAUZWA Nauza Bajaji kwa Bei chee

    Bajaji inauzwa TVS used bei 3,200,000. Inapatikana Gongo la mboto, Dar es salaam. Karibu uhudumiwe, simu 0755 233233.
  17. N'yadikwa

    Milunda inauzwa bei chee, 3000 kila mti ipo miti 1500

    Miti ipo Suma Katumba Rungwe Mbeya. Leta hela jichukulie miti, ni minene inafaa kwa ujenzi wa aina yoyote. Ipo barabarani kabisa ukifika Suma Secondary ni hapohapo barabarani shamba lilipo. Kama unavyoiona pichani. Serious buyer piga simu: 0658615426.
  18. maurice99

    House4Sale Nyumba inauzwa Tanga Mjini

    Nyumba ipo Tanga Mjini Mitaa ya kisosora *Room 4 (Kimoja master) *Sebule *Jiko *Public Toilet *Umeme✅ *Maji✅ Bei 65 milioni mazungumzo yapo...Kwa mteja Serious piga simu 0683703076 au whatsapp 0763316426
Back
Top Bottom