Wakazi wa Vikunai kata ya Toangoma, wilayani Temeke usafiri wetu umekuwa ni wa kubahatisa na nauli zake hazieleweki.
Kwa mfano kuna ruti za Vikunai - Stesheni via Kijichi na ruti ya Vikunai Stesheni via Zakhem vivyo hivyo kwa ruti za Gerezani hazifiki kabisa Vikunai huna zinaishia Zakhem kwa...
Kumekuwa na ukiukwaji mkubwa na wa wazi wazi wa maelekezo yenu juu ya bei elekezi za nauli katika njia hizo.
Watoa huduma wanatoza bei wanazotaka wao na kuwabighudhi abiria wanaotaka kulipa nauli elekezi.
Mathalani nauli kutoka Mbagala rangi 3 kwenda Kimanzichana ni Tshs. 3100/= lakini kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.