Kuna kila sababu ya kujitafakari upya
Yaani nimeagiza balimi mbili moja ni 500cc, kwa hivyo balimi mbili ni 1000cc, ambapo balimi moja ni TZS 2000/'- yaani kwa muktadha huo 1000cc za balimi ni shilingi 4000/-, bei ambayo ni zaidi ya lita moja ya petrol
Tuna kwenda wapi jamani, ni furaha tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.