bei ya bidhaa kenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Maisha ya Wakenya rahisi sana, IST inauzwa KShs laki 6 tu

    Ndiyo! Laki 6 (sawa na TShs 12M) tu, lkn kwenye ile nchi uchwara kwa hela yao bei ya IST inafika milioni 20. Mtu akiwa na KShs milioni 100 anaweza kununua mabasi yote ya mikoani pale Magufuli stand. Kile kinchi uchwara sijui kikoje? Hivi kina laana kweye hicho kinchi
  2. masai dada

    Bidhaa tokea Kenya zilipanda sana mwanzoni mwaka huu

    Mwishoni mwa mwaka jana, baadhi ya bidhaa, hasa zile zinazotumika kupika vitu mbalimbali, zilikuwa na bei ya chini. Hata hivyo, mwanzoni mwa mwaka huu hadi mwezi wa tatu, bei ya bidhaa hizi zilikuwa zimepanda sana. Naamini hasira nyingi za Wakenya zinaelekea kwenye mswada wa marekebisho ya...
Back
Top Bottom