Ndiyo! Laki 6 (sawa na TShs 12M) tu, lkn kwenye ile nchi uchwara kwa hela yao bei ya IST inafika milioni 20. Mtu akiwa na KShs milioni 100 anaweza kununua mabasi yote ya mikoani pale Magufuli stand.
Kile kinchi uchwara sijui kikoje? Hivi kina laana kweye hicho kinchi
Mwishoni mwa mwaka jana, baadhi ya bidhaa, hasa zile zinazotumika kupika vitu mbalimbali, zilikuwa na bei ya chini. Hata hivyo, mwanzoni mwa mwaka huu hadi mwezi wa tatu, bei ya bidhaa hizi zilikuwa zimepanda sana.
Naamini hasira nyingi za Wakenya zinaelekea kwenye mswada wa marekebisho ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.