Refer to the heading above
Waziri wa kilimo ndugu Husein Bashe, wakulima tunalia na bei ya mbolea.
UREA mwaka jana bei ilikuwa Tsh 50,000/- kwa kilo 50 sasa ni 110,000/-
DAP ni 120,000/-
Kuna uwezekano mkubwa kushuka kwa uzalishaji wa mazao hasa huku nyanda za juu kusini maana ardhi hii bila...