bei ya petroli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bei ya Petroli, Dizeli Oktoba sasa kitonga, sababu za kushuka zatajwa

    Bei ya petroli na dizeli ya rejareja kwa Oktoba 2024 imeshuka nchini, ikilinganishwa na Septemba, huku sababu kadhaa zikitajwa, ikiwamo kushuka kwa gharama za soko la Uarabuni. Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) inaonyesha bei za mafuta kuanzia leo...
  2. Mafuta yamepanda, Media na watanzania kimya cha kaburi, wapo bize na Yombo Dovya Ajabu!

    Mpk Sasa nimefuatilia vyombo vya habar ving sana sio Ayo tv, sio kitenge tv...kimya Cha kaburi! n vichache mno vimeweza kutoa taarifa hii ikiwemo Jamii forum.. Hizi taarifa n tokea Jana usiku zimetoka ila kinachosikitisha Mambo haya hayana airtime Tanzania sio kwenye Media sio Kwa watanzania...
  3. Imagine lita ya Bia kwa bei elekezi ni ghali kuliko lita ya petrol

    Kuna kila sababu ya kujitafakari upya Yaani nimeagiza balimi mbili moja ni 500cc, kwa hivyo balimi mbili ni 1000cc, ambapo balimi moja ni TZS 2000/'- yaani kwa muktadha huo 1000cc za balimi ni shilingi 4000/-, bei ambayo ni zaidi ya lita moja ya petrol Tuna kwenda wapi jamani, ni furaha tu...
  4. Bei ya Mafuta yaendelea kushuka katika Soko la Dunia, OPEC+ yasema itaanza kupunguza usambazaji kuanzia Oktoba 2024

    NISHATI: Bei ya Mafuta imeripotiwa kuendelea kushuka zaidi katika Soko la Dunia karibu miezi 4 mfululizo ambapo hadi kufikia Mei 4, 2024, Bei ilifikia kati ya Dola za Marekani $76.76 (Tsh. Tsh. 200,727) hadi $77.52 (Tsh. 202,714) kwa Pipa. Hali hiyo imesababisha Nchi Zinazouza Mafuta (OPEC) na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…