bei za mchele

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bei za mcheleNzipoje katika maeneo mbalimbali?

    Habari wana jf tupeane machimbo ya mchele wa bei nzuri ya chini Hapa mbeya mjini kuanzia 1200 kuendelea Kwa ubaruku kuanzia 1300 kuendelea Wewe hapo ulipo bei ikoje.
  2. Ni mkoa gani mchele wake wa bei ndogo unaweza kuuza bila kugredi?

    Habariinii Swalii kama linavyojieleza wadau ni mkoa gani naweza kwenda kununua mchelee wa bei za chini na ukawa fresh bila kuwa na chenga nyingii. Yanii unaweza tu kununua ukaupaka mafuta na kuupeleka. Nachukuwa mchele morogoro aisee nimeshachoka mchele wenyewe faida ndogo afu pia ukiugrediii...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…