Ukizungumzia mastriker wenye umri mdogo ulaya na dunian kwa ujumla huwezi acha kumataja huyu dogo anaecheka na nyavu kila siku dogo hallanda
Kwa watu wa man untd miyoni mwao watakua wanajilaumu kutokana na kumkosa huyu bwana mdogo
Tangu ajiunge na Dortmund huyu dogo adi sasa kacheza mechi sita...
Wanafunzi wanaoendelea na masomo vyuo vikuu vya Tanzania hujishughulisha na shughuli mbalimbali za kuwakaribisha wanafunzi wa mwaka wa kwanza, ikiwemo mizaha na vicheshi miongoni mwa wanafunzi wenzao.
Mabadilishano haya ya ucheshi husaidia wanafunzi wapya kuhisi sehemu ya utamaduni wa jumla na...
SOURCE: Website ya Jimbo Kuu la D'Salaam
Nimeshtushwa kuondoloewa kwa Kardinali Polycarp Pengo kwenye website ya Jimbo Kuu la D'Salaam.
Ukiisoma inaonyesha Jude Thadaeus Ruwa'Ichi ndiye Askofu Mkuu wa Jimbo hilo na Eusebius Nzigilwa ni Askofu Msaidizi.
Jamani nikumbusheni. Je, inawezekana...
Oy oy it'z another beautiful day,,by the way kidhungu ni kisanga acha nikaushe nirudi kwenye Lugha ya taifa,,Mko vyema wanajamvi?!....Bac aikatai,,,Kuna mamiloo tunapiga nae book apa chuo,asa uyu mamdii amekua akikimbiza kinyama class kwa kila medani iwe ya kimataifa hadi ya tarafa,Obvious hana...
Hakuna kitu kinachoitwa hasira una mizuka yako ya kukata gogo maeneo haswa ya vyoo vya sehemu ya starehe au stand unaingia unapishana na mtu anatoka msalani kavaa vizuri kabisa unaingia tu hamadi unakutana na gogo hata halijasafirishwa lipo limejaa kwenye tundu yaani mpka mzuka wa kukata gogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.