benchi

Benchi Express is a catamaran ferry operated by the Spanish-Norwegian shipping company Fred. Olsen Express for local transport connecting ports on the island of La Gomera (Canary Islands). It was delivered to Fred. Olsen in September 2017 and has been operating the route between the towns of San Sebastián de La Gomera, Playa Santiago and Valle Gran Rey since then. The ship was purpose-built for this route by Drassanes Dalmau, based in Arenys de Mar (Barcelona).

View More On Wikipedia.org
  1. C

    Nipe benchi zuri linalotosha kukaa mpaka watu wanne

    Kama una benchi zuri la mbao (lisiwe la chuma na lisiwe na sehemu ya kuegemea) linalotosha kukaa mpaka watu wanne njoo PM tufanye biashara. Kama wewe ni fundi seremala na unaweza kuniahidi kunitengenezea benchi za aina hiyo kwa haraka (nataka tatu tu) njoo PM tuone tunafanyaje. Nasisitiza, uwe...
  2. Presha yawa kubwa kwa Luis Miquissone, benchi lamtesa, Simba watajwa, wadau Al Ahly waja juu

    Vigogo wa Afrika, Al Ahly wamepoteza mchezo wa nusu fainali ya Klabu Bingwa Dunia kwa kufungwa mabao 2-0 na Palmeiras ya Brazil, usiku wa kuamkia leo. Kwa maana hiyo AL Ahly sasa wanasubiri kucheza mechi ya kutafuta mshindi wa tatu dhidi ya Al Hilal ya Saudi Arabia au Chelsea ya England ambazo...
  3. Banda wa Simba SC nimemuona akicheza AFCON ya Cameroon, ila Diara wa Yanga SC namuona 'anaozea' Benchi tu. Kulikoni?

    Sasa kama Kipa Djigui Diara ( Yanga SC ) ni mdaka Mishale na kila Siku Magazeti ya Kinafiki ya Mwanaspoti na Championi yanajipendekeza Kumpamba ( Kumsifia ) mbona tokea aitwe na Mali huko AFCON ya Cameroon anaozea tu Benchi / Mkekani? Cha Kushangaza yule Mchezaji Bora na asiyeimbwa na Magazeti...
  4. K

    Mvutano benchi la ufundi Simba: Je, wachambuzi wako sahihi?

    Mara baada ya kumaliza mchezo kati ya Simba v/s Mbeya City, wachambuzi wa Azam Media walubainisha hii nukta, pamoja na mambo mengine ya kitaalamu lakini hili walilibainisha. Kwamba benchi la SSC kuna shida, hasa yanapofanyika mabadiliko ya mchezaji ni kama kuna kutoelewana. Mifano ya kwenye...
  5. Azam Fc yafukuza benchi lote la ufundi

    Klabu ya Azam Fc ya Chamazi imetangaza kuachana na Kocha wake Mkuu, George Lwandamina na benchi lote la ufundi baada ya kutokufurahishwa na mwenendo wa timu hiyo kwa siku za karibuni. Taarifa zaidi zitakujia
  6. M

    Nataka hawa ndiyo wawe katika Benchi la Ufundi la Taifa Stars na siyo 'Goigoi' walioko sasa

    1. Mecky Mexime Kocha Msaidizi 2. Ally Mayai Meneja wa Timu 3. Juma Kaseja Kocha wa Makipa Kocha Mkuu Kim Poulsen hatufai ila awe Mkurugenzi wa Ufundi wa Timu za Taifa na atafutwe Kocha mwenye Viwango wa Kimataifa na anayejua Kucheza Soka la Kimalengo na siyo Soka la Hamasa, Siasa na Upuuzi...
  7. M

    Watanzania bhana yaani kwa Benchi hili la Ufundi lenye Watu 'dhaifu' kama Shedrack Nsajigwa, Ivo Mapunda na Nadir Haroub mliamini Kombe la Dunia mpo?

    Watajwa wote hapa juu hawana Mafanikio ya Kujivunia na Wachezaji kuifunza kutoka Kwao cha Kushangaza eti na Wao ni sehemu ya Benchi la Ufundi la Taifa Stars kwanini Congo DR wasiupige mwingi na Kutufunga Goli Tatu nzuri.
  8. C

    Benchi la ufundi Simba lapigwa chini

    Habari ambazo hazijathibitishwa ni kwamba benchi la ufundi limepigwa chini, kama ni kweli ni sawa tu ingawa Hitimana kaonewa Mzungu keshachachawa hajui tena hata kufanya sub na mapenzi binafsi kwa wachezaji kama wawa yemepitiliza Matola kwa kweli kama tunayoyasikia ni kweli basi ulaaniwe sana...
  9. Ije sheria kuwanusuru 'wanaosota' benchi muda mwingi

    Ningetamani kuwepo na sheria ambapo Kocha/Timu isiruhusiwe kucheza zaidi ya mechi tano au kumi bila kumtumia Mchezaji wake. Yaani iwe kila baada ya dakika kadhaa za kucheza basi asiwepo Mchezaji ndani ya timu ambae hajacheza walau dakika kumi za mechi ya ushindani. Inaleta maudhi kuona baadhi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…