benjamin netanyahu

Benjamin Netanyahu (; Hebrew: בִּנְיָמִין נְתַנְיָהוּ‎ ; born 21 October 1949) is an Israeli politician serving as the prime minister of Israel since 2009, having previously served in that role from 1996 to 1999. Netanyahu is also the chairman of the Likud – National Liberal Movement. He is the longest-serving Israeli prime minister in history and the first to be born in Israel after its Declaration of Independence.Born in Tel Aviv to secular Jewish parents, Netanyahu was raised both in Jerusalem, and for a time in Philadelphia in the United States. He returned to Israel upon graduating from high school in 1967 to join the Israel Defense Forces, shortly after the Six-Day War. Netanyahu became a team leader in the Sayeret Matkal special forces unit and took part in many missions, including Operation Gift (1968) and Operation Isotope (1972), during which he was shot in the shoulder. Netanyahu fought on the front lines in the War of Attrition and the Yom Kippur War in 1973, taking part in special forces raids along the Suez Canal and then leading a commando assault deep into Syrian territory. Netanyahu achieved the rank of captain before being honorably discharged. After graduating from the Massachusetts Institute of Technology with a Bachelor of Science (SB) and a Master of Science (SM), Netanyahu became an economic consultant for the Boston Consulting Group. He moved back to Israel in 1978 to found the Yonatan Netanyahu Anti-Terror Institute, named after his brother Yonatan Netanyahu, who died leading Operation Entebbe.
In 1984, Netanyahu was appointed as Permanent Representative of Israel to the United Nations by Prime Minister Yitzhak Shamir, a role he held until 1988. On his return to Israel, he was elected to the Knesset, and in 1993 was elected as the Chairman of Likud. He went on to lead the party to victory at the 1996 election, and was appointed as Israel's youngest-ever Prime Minister. After serving a single term, Netanyahu and Likud were heavily defeated in the 1999 election by Ehud Barak's One Israel party; Netanyahu chose to retire from politics entirely, and entered the private sector. However several years later, after his successor as Likud Chairman, Ariel Sharon, became Prime Minister, Netanyahu was convinced to return to politics, and served as Minister of Foreign Affairs and Minister of Finance. As Finance Minister, Netanyahu initiated major reforms of the Israeli economy that were credited by commentators as having significantly improved Israel's subsequent economic performance. Netanyahu later clashed with Sharon, eventually resigning over disagreements regarding the Gaza disengagement plan.
Netanyahu returned to the leadership of Likud in December 2005 after Sharon stepped down to form a new party, Kadima. Although Likud finished second in the 2009 election to Kadima, Netanyahu was able to form a coalition government with other right-wing parties and was sworn in as Prime Minister for a second time. He went on to lead Likud to victory in the 2013 and 2015 elections. After the April 2019 election resulted in no party being able to form a government, a second election in 2019 took place. In the September 2019 election, the centrist Blue and White alliance, led by Benny Gantz, emerged slightly ahead of Netanyahu's Likud; however, neither Netanyahu nor Gantz was able to form a government. After continued political deadlock, this was resolved when Likud and Blue and White reached a coalition agreement following the 2020 election. Under the terms of the agreement, the premiership would rotate between Netanyahu and Benny Gantz, in which Gantz was scheduled to succeed Netanyahu in November 2021. In December 2020, this coalition collapsed and a new election was held in March 2021. Netanyahu has led Israel’s response to the COVID-19 pandemic and the 2021 Israel–Palestine crisis.
Netanyahu made his closeness to Donald Trump central to his political appeal in Israel from 2016. Since December 2016, Netanyahu has been under investigation for corruption by Israeli police and prosecutors. On 21 November 2019, he was indicted on charges of breach of trust, bribery and fraud. Due to the indictment, Netanyahu is legally required to relinquish all of his ministry posts other than the prime minister position.

View More On Wikipedia.org
  1. Waziri mkuu wa israel benjamin netanyahu asitisha kuachiwa kwa magaidi 620

    Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu imetangaza kuwa magaidi 600+ ambao walikuwa wamepangwa kuachiliwa leo kutoka magereza nchini Israel, badala ya mateka 6 walioachiliwa leo asubuhi kutoka Gaza, hawataachiliwa kutokana na kuendelea kwa Hamas "ukiukaji na udhalilishaji" wa mateka...
  2. Netanyahu na Trump wamechanganyikiwa kuhusiana na Hamas. Imekuwa kaa la moto. Waropokwa ovyo

    Njama dhidi ya Palesina,Gaza na Hamas zimeshindwa vibaya mpaka sasa kiasi kwamba wahusika wakuu kutoka Marekani na Israel wamekuwa wakiropokwa ovyo. Raisi Trump wiki mbili zilizopita alitoa ya moyoni yaliyokuwa wameyaficha pale aliposema anataka awahamishe wapalestina na kupajenga upya...
  3. U

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahau amteua Meja Jenerali Eyal Zamir kuwa Mkuu mpya wa Majeshi

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amemteua Meja Jenerali Eyal Zamir kuwa mkuu mpya wa majeshi ya Israel (IDF), akichukua nafasi ya Luteni Jenerali Herzi Halevi, ambaye ataondoka madarakani Machi 6. Uteuzi wa Zamir unakuja wakati Israel inakabiliwa na changamoto kubwa za kiusalama...
  4. Donald Trump amualika Benjamin Netanyahau Ikulu ya White House. Vita ya Gaza inaelekea kuishia?

    Rais Donald Trump amemualika Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kutembelea Ikulu ya White House wiki ijayo, ikiwa ni ziara ya kwanza ya kiongozi wa kigeni katika muhula wake wa pili. Ziara hii inakuja wakati Marekani inashinikiza Israel na Hamas kuendeleza usitishaji mapigano...
  5. Pongezi kwa Netanyahu kwa kusuasua kwa muda mrefu katika kufanya maridhiano ili ajipatie nafasi ya kuwakanda vilivyo hamas

    Hamas walitegemea watachapwa hata miezi 3 alafu UN na Iran waingilie kati wawaokoe ila kilichofatia ni miezi kadhaa ya kusaidiwa kwenda kugombaniana mabikra 72 huko waendapo.
  6. U

    Netanyau aondoka hospitalini kibabe bila ruhusa ya madaktari , ahudhuria kikao muhimu cha bunge la bajeti akiwa dhaifu

    Wadau hamjamboni nyote? Madaktari wamemzuia yeye akagoma na kuondoka kuelekea bungeni Mwamba huyo ana siku 2 tu tokea afanyiwe upasuaji na anatakiwa aendelee kuwepo hospitalini Kwa siku kadhaa Ameonekana akiwa dhoofu na amechoka (drawn and tired) kutokana na kuugua Anatarajia kurudi...
  7. Canada is the next india

    Sio kila unachokipanga ndicho kitakacho kamilika Msemo uo umemkuta waziri mkuu wa Canada Justin trudeau Aliingia madarakani mwaka 2015 - mpaka sasa Justin trudeau alivyoingia madarakani akaja na system yake ya immigration. Kwa maono yake alikuwa anataka kuingiza temporary immigration kama...
  8. Wanaoingia madarakani Syria ndio watakaosaidia utetezi kwa Wapalestina na kuiondoa madarakani serikali ya Netanyahu

    Siku mbili tangu raisi Bashar Al Assad aondolewe madarakani kutokana na upinzani ulioongozwa na wanamgambo wa chamba cha Hizbu Tahrir,dalili zote zinaonesha watu hao wanaoingia madarakani si vibaraka wa Marekani wala wa Israel. Mataifa hayo mawili inaonekana yalipigwa chenga sana na harakati za...
  9. Katika kizazi hiki cha Z generation Benjamini Netanyau ndiyo kiongozi mtata na mtukutu zaid kumshudia

    Amani kwenu watumishi Wamewahi kutokea viongozi wengi lakin sisi Gen Z hatukuwashudua Lakini katika generation yetu hii huyu jamaa mwamba wa kuitwa Benjamini Netanyau ndo mtata zaid kwa sasa Trump ni jeuri tu lakini si mtata kama jamaa Huyu jamaa harudigi nyuma IQ kubwa sana
  10. M

    Ni kweli Bashar Al Asad ameomba back up kwa Benjamin Netanyahu?

    Habari zimesambaa kwenye forums mbalimbali ikiwemo Quora na nyingine za kiyahudi, kwamba Rais wa Syria Bashar Al Asad hivi majuzi alimpigia simu Benyamin Netanyahu kumuomba amsaidie kupambana na waasi wanaoonesha ku advance kwa kasi kwenye miji muhimu licha ya mashambulizi ya anga yanayofanywa...
  11. Israel kukata rufaa dhidi ya vibali vya ICC vya kukamatwa kwa Netanyahu na Gallant

    Wakuu, Israel itakata rufaa kupinga hati ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ya kukamatwa kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na waziri wa zamani wa ulinzi Yoav Gallant. Majaji wiki iliyopita walitoa vibali kwa watu hao wawili pamoja na kamanda wa kijeshi wa Hamas Mohammed Deif, wakisema kuna...
  12. Canada na Uswizi zatangaza kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu akigusa ardhi yao

    Mataifa ya Ulaya na Amerika yanaendelea kutoa onyo kwa Gaidi Benyamini Netanyahu zitamtia mbaroni na kumpiga tanganyika jeki atakapo gusa ardhi zao Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ============...
  13. Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

    Wakuu, Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imetoa hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, na waziri wa zamani wa ulinzi, Yoav Gallant, kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita. Uamuzi huu unamaanisha kwamba nchi 124 wanachama wa ICC zinapaswa...
  14. Israel: Netanyahu amfukuza kazi Waziri wa Ulinzi,Yoav Gallant

    Wanaukumbi. Netanyahu kamfukuza kazi waziri wa ulinzi Yoav Gallant kutoka wadhifa wake wameshindwa kuelewana Gallant, kamwambia Netanyahu vita tumeshindwa Inakisiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa sasa wa Israel Israel Katz atachukua nafasi yake. =============== Netanyahu dismissed defense...
  15. U

    Netanyahu aahidi mamilioni ya dola kuachiwa huru mateka wa Israel wanaoshikiliwa Gaza

    Wadau hamjamboni nyote? Mamilioni ya dola za kimarekani Kwa magaidi wakiachia huru mateka wa Israel. Taarifa zaidi hapo chini kwa kimombo: ========== An Israeli official confirms a Channel 12 report that Prime Minister Benjamin Netanyahu is prepared to offer captors of hostages in Gaza...
  16. Video: Mwamba huyu hapa. Wala hajifichi kwenye mashimo. Simba hukaa sehemu za wazi siyo kama panya

    Anafurahi tu anavyogonga mbele na nyuma kwa magaidi. Amekaa tu anapiga stories na washkaji kitaa. Wanampa tano na kupiga naye stories jinsi anavyo fanya micharazo.
  17. Iran yasema haikuhusika kwenye jaribio dhidi ya makazi ya Netanyahu, yalaumu Hezbollah

    Iran imekimbilia kwenye kujitetea, ila waambiwa wasubiri papo hapo kipo tu, na muda wote wawe macho yao yanaangaza angani maana hawajui watashukiwa vipi. Vita vya kisaikolojia ========= Iran Denies Involvement in Drone Attack on Netanyahu, Blames Hezbollah Days after Israel eliminated Hamas...
  18. Video: Benjamin Netanyahu ajitokeza hadharani kibabe baada ya kuwepo na taarifa ya nyumba yake kushambuliwa na drone

    Wakuu, Kuna hii video inasambaa. Baada ya taarifa kutapaka mitandaoni kwamba nyumba ya Benjamin Netanyahu imeshambuliwa na drone kutoka kwa Hezbollah na kusababisha wengi kuhoji usalama wa kiongozi huyo, hatimaye simba huyo wa vita amejitokeza. Soma pia: Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria...
  19. U

    Netanyau afanya ziara mpaka wa Lebanon, asema dunia imevutiwa na uwezo na uwezo wa kijeshi wa Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Kumekucha. Waziri Mkuu Benjamin Netanyau atembelea mpaka wa Israel na Lebanon Asema ulimwengu wote umevutiwa na kushangazwa na uwezo mkubwa ulionyeshwa na IDF katika kuwashughulikia magaidi. Soma Pia: Jeshi la Israel IDF laanzisha mashambuluzi ya nguvu nchini Lebanon...
  20. U

    Rais Biden amsihi sana Netanyau asishambulie vinu vya nyuklia vya iran

    Wadau hamjamboni nyote? Rais Biden amuomba Netanyau asilipue kinu cha nyuklia Iran Soma Pia: Naftali Bennett ataka kinu cha nyuklia na mfumo wa kuzalisha nishati Iran kulipuliwa ====== Biden urges against attack on Iran nuclear sites as Israel mulls payback Remains of a ballistic missile...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…