benki kuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nilipoona Mama Samia anafanya mazungumzo na Makamu wa Rais na Gavana wa Benki Kuu Prof Luoga nikajua hakuna nyongeza

    DK Philip Mpango ndio kila kitu juu ya matumizi na mapato ya pesa za umma kuanzia awamu ya tano ilivyoingia na sasa awamu ya sita. Japokuwa tupo awamu ya sita lakini ni kama tupo awamu ya tano ya JPM. Maana huyu Dk Mpango ndie aliengineer kila kitu juu ya kuweka pesa zote hazina na kubana...
  2. Swali Je, Benki Kuu na Wizara ya Fedha zinachukua hatua gani kukuza ufahamu wa Fedha kuongeza Financial Inclusion?

    Moja kati ya kazi kuu ya Benki Kuu ni kudhibiti uchumi kazi ambayo inataka uwepo wa washiriki kwa ngazi zote ili maamuzi ya Benki Kuu yaweze kuwafikia wananchi wa kawaida amba wanaaswa kuwa washiriki Soko la Fedha ndio tegemezi kubwa la Sera ya Fedha, ni wazi kuwa wananchi wakiwa wengi katika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…