benki ya nmb

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BigTall

    Rais Samia akutana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Tanzania, Ikulu - Dar

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Tanzania, Bi. Ruth Zaipuna Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 13 Januari, 2025. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na...
  2. Mgaa gaa upwa

    Ninawezaje kuifungulia mashtaka Benki ya NMB kwa dhuluma hii ya fedha zangu?

    Poleni na majukumu ya Kila siku. Mwezi wa tano nilimfungulia biashara ya uwakala mke wangu, nikajenga duka na lilipokamilika nikawa nimebakiwa na fedha kidogo Kama mtaji, baada ya biashara kuanza nikaona Umuhimu wa kupanua biashara. Nikawahi Benki ya NMB na kupata mkopo wa fedha kidogo ili...
  3. A

    KERO Benki ya NMB Mihayo Tabora boresheni huduma zenu

    Benki ya NMB Tabora wamekuwa na huduma mbovu. Huduma inayotakiwa kutolewa na watu watano ila inatolewa na mtu mmoja. Wateja wanapoteza muda mrefu bila kupata huduma. Mfano mtu nataka kujua salio anaweza kutumia lisaa limoja mpaka mawili anasubiri wahudumu, Lakini wahudumu hakuna yupo mmoja tu...
  4. S

    KERO Namba ya huduma kwa waeja ya benki ya NMB: 0800002002 ni kero kubwa, haipokelewi

    Kwa kweli hii namba ni kero sana., unapiga dakika za kutosha(kumi na zaid), unakata kisha unapiga tena simu haipokelewi. Badala yake, unaambiwa uendelee kusubir mpaka unaamua kuacha /kukata. Simu nilianza kupiga tangu juzi ila mpaka leo sijafajikiwa, na sababu ya kuwapigia ni matatizo...
  5. TRA Tanzania

    Dar es Salaam: Kamishna Mkuu wa TRA akutana na mtendaji mkuu wa benki ya NMB

    Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Mwenda leo tarehe 21.11.2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna ambapo wamezungumzia mambo mbalimbali ya kikodi.
  6. Melki Wamatukio

    Msaada wa haraka kutoka kwa watumiaji wa NMB

    Habari wakuu, Nahitaji kuhamisha kitita cha dollar 1.5 kutoka NMB Chap Chap Account kwenda Prepaid Account. Sijawahi kutumia NMB Mkononi japokuwa nimeunganishwa kupitia Vodacom Nifuate hatua zipi wakuu? Nina 200 as normal balance kwenye vodacom kwa maana ya nikikosea mara mbili imekula...
  7. J

    Natafuta POS za kununua za benki ya NMB na CRDB

    Naomba kujua kama kuna mtu anauza posi ya nmb na crdb anitafte nataka tufanye biashara maana nazihitaji kwa uharaka sana.
  8. Mussa rapper

    Kupata kadi ya NMB kutoka wilaya moja hadi nyingine inachukua muda gani?

    Habari naomba kuuliza au kupata msaada kutoka NMB kadi kutoka wilaya moja hadi nyingine inachukua muda gani kufika na mnazisafirisha kwa njia ipi? Nime-renew kadi nikaambiwa niende baada ya siku 10 nimeenda kadi imetumwa wilaya nyingine ni j5 ya week iloisha nikaambiwa niijie ijumaa yani leo...
  9. Naju23

    NMB kuna matatizo gani? Benki Advance inaniambia nina mkopo wakati sijakopa

    Kitendo cha kuomba na kuniambia nina mkopo bado sikielewi kabisa. Sidaiwi na nmb kwanini napata ujumbe huu? Mjuzi anayejua tafadhari Naju.
  10. Clark boots

    Nawezaje kuangalia salio langu NMB kwa mtandao bila makato?

    Wakuu, nawezaje kuangalia Balance yangu ya NMB bank kupitia Internet ambapo siwezi kukatwa kiasi chochote cha hela? NOTE: Sihitaji NMB App maana naona inasumbua sana.
Back
Top Bottom