Anaitwa Benson Kigaila.
Cheo chake Naibu Katibu Mkuu Bara - CHADEMA.
Hajawai kuchaguliwa wala kupigiwa kura ila ameongoza miaka mingi CHADEMA.
Mke wake yupo bungeni ni mmoja wa wale COVID-19.
Ameshasema yeye sio muumini wa ukomo wa uongozi ikiwezekana hata Rais wa nchi asiwekewe ukomo wa...