bernard konga

  1. E

    Baada ya Bernard konga kamaliza muda wake kama mkurugemzi mkuu NHIF tunashauri na tutegemee nini tunapoelekea kupata DG mpya?

    Aliyekuwa mkurugemzi mkuu NHIF , Bernard konga kamaliza muda wake na nafasi yake amekaimu Grace Temba . Nini tutegemee katika huu mfuko wa Taifa ambao Changamoto haizawahi kuisha Na tushauri nini kwa Uongozi mpya au tunaokwenda kupata ?
Back
Top Bottom